FIZI-SWIMA : Mai mai waliokuwa ambao wali jiunga na jeshi la taïfa la mboko kijiji swima

Écrit par sur février 24, 2019

Mboko

Maimai waliokuwa ambao wali jiunga na jeshi la taïfa la mboko kijiji swima wamejielekeza porini usiku wa kuamukia leo tariki 23/02/2019 canzo yao kurudia porini hakijafahamika mpaka sasa
Ifahamike kwamba maimai hao sana Rudi porini nibaada ya wengine watata kushukia sanza kijiji kinacho patikana ndani ya groupement ya basimukuma nord secta ya Tanganyika mwendo wa saa tatu za usiku nne ya juma hii usiku na kurudia tena porini .
Askari wataifa waliofia kuwafwa wakiwaza kwamba uenda wamepatwa nawoga hasa waki hii maimai hao walikuwa wa kija mumoja baada ya mwengine siku kwasiku kama tulivyo harifiwa na jeshi la taifa.

Ikumbukwe kwamba maimai hao jumla yao walikuwa 37 ambao walikuwa wamejengewa kambi ambapo walipo kuwa wame ifaziwa na serekali
Nitarifa ya kufwatiliwa

Www.fizimedia.com


Les opinions du lecteur

Laisser un commentaire

Votre adresse email ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *



En ce moment

Titre

Artiste

%d blogueurs aiment cette page :
FiziMedia

GRATUIT
VOIR