FIZI-RDC : Historiya ya uhamiaji wa makabila yanayo ishi tarafani za Fizi

Écrit par sur janvier 29, 2019

Historiya ya uhamiaji wa makabila yanayo ishi tarafani za Fizi,

Mwandishi G. Weis, katika kitabu chake kinachoitwa Le pays d’Uvira anasema Wabembe

Origine ya wabembe piya ni Maniema katikati ya mito Ulindi na Elila walifika (Fizi ) au bord du lac Tanganyika mu 17e siècle) walikuta wenyeji wa hapo: Wa masanze,wa bwari ,wa buyu, wa goma,waoloolo( yani wa joba en général ) na wambote.  wakajichanganya wote. Yani katika tarafani fini kuna ma kabila mengi tu. imeandikwa Na G. Weis.
Ushahuri wangu ni kwamba muheshimiyane muishi kwa amani. Asanteni kwa usikilivu mwema.
Fizimedia.com


Les opinions du lecteur

Laisser un commentaire

Votre adresse email ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *



En ce moment

Titre

Artiste

%d blogueurs aiment cette page :
FiziMedia

GRATUIT
VOIR