M’mbondo : Nouveau président Émo ya m’mbondo Cape Town
Written by FiziMedia on janvier 13, 2019
Émo ya mbondo Afrique du Sud katika ville ya Cape Town ilikuwa katika uchaguzi wa rais mpia wa communauté bembe de Cape Town laste sunday. President wa mbondo cape Town wame mchanguwa ndugu Bahombwa Mahonesho. Ata ongoza communauté bembe de cape town miaka miwili hapo cape town. Bas habari iyo iwafikie ndugu mbondo wote walio katika ville ya Cape Town.
fizimedia.com